Friday, February 3, 2012




Unamkumbuka  mwanaharakati huyu?   

Ernesto Rafael Guevara de la Serna au Che Guevara, ni mwanaharakati aliyekuwa na itikadi za kisosholisti na anajulikana sana kwa harakati zake za kimapinduzi dhidi ya tawala za kikoloni.

Kati ya kauli zake ninazo zikumbuka ni hii" I am not a liberator. Liberators do not exist. The people liberate themselves" kauli  yake hii aliitoa mnamo mwaka 1958 huko Mexico.

Je unaitazamaje kauli ya Che? 
 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.